Sunday 22 November 2009

WAANDISHI WA HABARI

tatizo la waandishi wa habari ni kutokuwa na ujasiri wa kuandika mambo yanayoliangamiza taifa la tanzania na kuacha viongozi wafanye wanavyotaka kitu ambacho kitakuja kuleta matatizo ktk kizazi kijacho na mapambano ya wenyewe kwa wenyewe tazama kama bwana kubenea na zitto kabwe walivyo punguza misimamo katika kutetea na kueleza jinsi serikali inavyoendesha mambo yake kivificha ninachajiuliza mimi ni watu na jamii hasa wanahabari wanovyoweza kunyamaza huku taifa likishughulikia taratibu mambo kama EPA RICHMOND BOT ZOMBE BUZWAGI DOWANS IPTL WALIMU UHURU WA HABARI ningependa kutoa changamoto kwa wazalendo kama MWAKYEMBE ,ANA KILANGO,DR SLAA,OLE SENDEKA, JAKAYA,MAGUFULI,na wengineo wasimame imara kutetea wanyonge na bwana zitto rudi katika kasi yako pia KUBENEA ongeza juhudi na mapambano

MUNGU IBARIKI TANZANIA

No comments:

Post a Comment