Sunday 22 November 2009

TANZANIA NI SHAMBA LA BIBI

GODWIN CHACHA Says:




TANZANIA NI SHAMBA LA BIBI

kama tunavyofahamu mbali na kuwa na rasilimali za kutosha na idadi kubwa ya watu wasio na elimu bado ikisadikiwa ni taifa maskini kabisa duniani na taifa lisilonufaika na rasilimali zake kama madini na idadi ya watu ambao hawafahamu ni jinsi gani ya kunufaika na kutumia mianya kujiwezesha kiuchumi na kutumiwa kama vibaraka katika kujiibia mali za taifa lao na kutotimiza wajibu wao ikiwemo kuwawezesha wageni kukwepa kodi na pia kuwa na WABUNGE wasio na uwezo wa kulisimamia taifa lao mimi G.JUSTIN mwanabiashara wa chuo kikuu cha mzumbe ningependa kuto maoni yangu kwa raisi JAKAYA KIKWETE kwamba kutokana na mwenendo wa taifa letu ni bora achague moja kuwawajibisha watendaji wazembe kwa mfano sioni kazi ya baraza la mawaziri kwani limeshindwa wajibu na hivyo basi ni wakati wa kurekebisha katiba hili kuwawezesha watu wasio wabunge kuwa mawaziri kwani kama wabunge wameshindwa kazi yao je wakiongezewa na uwaziri wataweza ? si hivyo tu MAKAMISHNA KODI TRA ni vema wakawajibishwa kwani kutokana na ufahamu wangu na rasilimali zetu tulitakiwa tukusanye angarau TRION 5 kwa mwaka sasa kutokana na kutowajibika tunaambiwa mgodi wa WILIAMSON DIAMOND ulikuwa unajiendesha kwa hasara jamani ebu fanyeni uchunguzi mtagungua kitu ndani ya mgodi huo nasikitika kwa umaskini wetu watanzania lakini nashindwa kutambua ni nini maamuzi ya watoto wetu kwani inaonekana kizazi cha kati kimepoteza uelekeo je kizazi kipya kinachoonekana kuja na mawazo mbadara kitaweza kuokoa jahazi kabla lijazama

No comments:

Post a Comment